Mwanamuziki
ambaye pia ni Rapa anaye julikana kwa
jina la 2 Chainz kwa sasa anaitangaza
album yake mpya inayokwenda kwa
jina la Pretty
Girls Like Trap Music,
amefunguka na kumtaja msanii anayetaka kufanya naye kazi kabla hajastaafu
shughuli zake za muziki.
2 Chainz ambaye tayari ameshafanya
kazi na wasanii wakubwa kama vile Kanye
West na wengine kibao, amemtaja Rapa JAY-Z kuwa ni msanii anayetamani
kufanya naye kazi katika ngoma yak yoyote ile kabla hajastaafu muziki.
Chainz amesema, Rapa
JAY-Z
ni mtu wa kwenda na wakati kwani wanaendana sababu wote wanabadilika kulingana na wakati.
No comments:
Post a Comment