Tuesday, 11 July 2017

Jay Z atoa ukweli wa mahusiano yake na Beyonce

Mwana HipHop na star Jay Z ametoa video yenye majibu mengi kuhusu maisha na mahusiano yake na Beyonce kwenye mtandao wa TIDA.

Kwenye video hiyo ya Jay Z ameongelea mahusiano yake na Beyonce nakusema

 “Mahusiano yetu hayakujengwa kwenye misingi ya asilimia 100 ya ukweli bali juhudi zaidi zilihitajika ili kubaki pamoja kwa muda wote kutokana na matatizo yaliyoibuka ndani ya nyumba yetu

Jay Z amesema kudumisha na kuzipitia changamoto kwenye ndoa yake ilikuwa ngumu kuliko maisha aliyoishi mitaani

Msanii Jay Z na mwanadada Beyonce kwa sasa  wana watoto watatu huku wakiwa katika mahusiano kwa muda mrefu ambao ni ,Blue,Rumi na Sir Carter.


No comments:

Post a Comment