Na. William Kange
Dar
EsSalaam
Serikali
imeobwa kuwasaidi wanaridha juu ya hali
inayo wakabili ya ukata wa kifeha iliwaweze kufanya vizuri wanapoenda kuwakilisha nchi kwenye mashindano mbalimbali ya kidunia yanayo
husisha riadha.
Ombi
hilo limetolewa hii leo katibu mkuu wa shirikisho la riadha RT Wilhem Gudabuday
wakati akizungumza na Rise Media ambapo
amemuomba waziri mwenye dhama ya michezo Mhe. Harrison George Mwakyembe
kuwa awatazame wanariadha hao kwakuwa wao kama shirikisho wanakabiliwa na
changamoto ya kifedha .
![]() |
| katibu mkuu wa shirikisho la riadha RT Wilhem Gudabuday |
“tunakabiliwa
na ukawa kiuchumi Hakuna pesa kwenye riadha tume tuma ‘proposal’ kwenye
wizara yenye dhamana bado tunasubili
majibu”alisema Gidabuday
Gidabudy
amefunguka akisema mashindano yaliopo mbele yao ambayo makubwa matatu ngazi ya kidunia ni mashindano ya junior ya
Nairobi, ambapo wanariadha 12 wanatarajia kushiriki waliofikia viwango.
Amesema,
pia kuna mashindano ya jumuhiya ya madola ya “under eighteen (18 )” yatakayofanyika
nchini Bahama yatashirikisha wanariadha 2 kutokaTanzania.
Ameongaza,
vilevile kuna wanariadha ambao mpaka sasa wapo kambini Arusha kwa ajili
kujiandaa na mashindano “ senior” yatakayo fanyika jijini London “Uingereza”.
Aidha Gidabuday amewataja miongoni mwa wanariadha
watakao wakirisha nchi kwenye mashindano
hayo ya London akiwemo Alphonce
Simbu,Saidi Makula,Magdalena Salumu,Ezekiel Mwangimba pamoja na Sarah Ramadhanl


No comments:
Post a Comment